Monday, May 27, 2013

Dius: FEZA KESSY NA NANDO WAIWAKILISHA TANZANIA NDANI YA BBA

                FEZA KESSY                                                                         NANDO
Big Brother Africa  2013 "The Chase" imeanza kwa kasi usiku wa leo (26 may) na msanii Feza Kessy na Nando ndio wanaoiwakilisha Tanzania. kwa mujibhu wa story yake mwenyewe Nando ni mtanzania anaeishi marekani lakini ilimbidi aombe hela kwa marafiki zake kwa ajili ya kupata ticket ya kuja Tanzania kufanya usahili wa BBA, amesema kama angekosa nafasi ya kuiwakilisha Tanzania asinge juta maana pia alikua hajamuona bibi yake kwa miaka mingi, kwahiyo angekuwa kaitumia nafasi hiyo kuja kumuona bibi yake.

No comments:

Post a Comment