Saturday, May 25, 2013

USIKU WA MABINGWA BARANI ULAYA


                                            VS
    


Hii ni historia kwa kua club hizi mbili zote ni za nchini Ujerumani lakini usiku wa leo zinapigana kutafuta kikombe cha mabingwa barani Ulaya zikiwa kwenye aridhi ya kigeni.

                    Mshambuliaji hatari wa Bayern Aljen Ruben katika mazoezi
       Wachezaji wa Dortimund wakiwa mazoezini kwenye uwanja wa Wembley

Timu hizi mbili zimekutana baada ya safari ndefu na ngumu kama inavoonekana hapa chini.

No comments:

Post a Comment