Tuesday, June 11, 2013

Dius: NOORAH AFUNGA NDOA HARUSI YAFANYIKA SHINYANGA

Msanii Noorah ameungana na wasanii wengine kuuaga ukapela na kuingia katika maisha ya ndoa.harusi ya Noorah yafanyika nyumbani kwa mkoani Shinyanga.wasanii wengine waliooa karibuni ni pamoja na Shettah, Black rhymo, H baba na wengineo..Kila la kheri brother

No comments:

Post a Comment