Msanii Noorah ameungana na wasanii wengine kuuaga ukapela na kuingia katika maisha ya ndoa.harusi ya Noorah yafanyika nyumbani kwa mkoani Shinyanga.wasanii wengine waliooa karibuni ni pamoja na Shettah, Black rhymo, H baba na wengineo..Kila la kheri brother
No comments:
Post a Comment