gari liliobeba mwili wa marehem Albert, likiwa tayari kwa ajili ya
kuelekea morogoro, ambapo ataagwa tena na wakazi wa Morogoro kuanzia saa
nne asbuhi mpaka saa sita mchana, ambapo safari yake ya mwisho kuelekea
makaburini itakua imefika. Mungu ailaze roho ya marehem Albert Mangwea
mahali pema peponi.
No comments:
Post a Comment