Wednesday, June 5, 2013

MAMBO YALIVOKUA KATIKA VIWANJA VYA LEADERS CLUB DAR



























gari liliobeba mwili wa marehem Albert, likiwa tayari kwa ajili ya kuelekea morogoro, ambapo ataagwa tena na wakazi wa Morogoro kuanzia saa nne asbuhi mpaka saa sita mchana, ambapo safari yake ya mwisho kuelekea makaburini itakua imefika. Mungu ailaze roho ya marehem Albert Mangwea mahali pema peponi.

No comments:

Post a Comment