Thursday, June 6, 2013

MAZISHI YA NGWEA YAKAMILIKA MAENEO YA KIHONDA MKOANI MOROGORO

M2TheP akimuaga mshikaji wake wa karibu, marehem Albert Mangwea, katika viwanja vya Jamhuri mkoani Morogoro
 Maelfu ya wakazi wa Morogoro wakiwa katika foleni kumuaga marehem Albert Mangwea
                          Dada alie anguka na kuzimia akichukuliwa na watu wa msalaba mwekundu
watu wakusanyika kumlaza Ngwea ndani ya nyumba yake ya milele
 Hatimae leo hii, msanii Albert Mangwea, amefikishwa katika nyumba yake ya milele, katika makaburi ya Kihonda mkoani Morogoro, pembeni ya kaburi alilozikwa marehem baba yaje mzazi.

No comments:

Post a Comment